Skip to content
Zaburi 106:40-43

Zaburi 106:40-43

40
Kwa hiyo Bwana akawakasirikia watu wake na akauchukia sana urithi wake.
41
Akawakabidhi kwa mataifa na adui zao wakawatawala.
42
Adui zao wakawaonea na kuwatia chini ya mamlaka yao.
43
Mara nyingi aliwaokoa lakini walikuwa wamezama kwenye uasi, nao wakajiharibu katika dhambi zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options