Skip to content
Zaburi 106:10-12

Zaburi 106:10-12

10
Aliwaokoa mikononi mwa adui; kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.
11
Maji yaliwafunika adui zao, hakunusurika hata mmoja.
12
Ndipo walipoamini ahadi zake, nao wakaimba sifa zake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options