Skip to content
Zaburi 106:1-2

Zaburi 106:1-2

1
Msifuni Bwana. Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.
2
Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya Bwana au kutangaza kikamilifu sifa zake?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options