Skip to content
Zaburi 106:1-2

Zaburi 106:1-2

1
Msifuni Bwana. Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.
2
Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya Bwana au kutangaza kikamilifu sifa zake?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options