Skip to content
Zaburi 105:24-25

Zaburi 105:24-25

24
Bwana aliwafanya watu wake kuzaana sana, akawafanya kuwa wengi sana kuliko adui zao,
25
ndiye aliigeuza mioyo yao iwachukie watu wake, wakatenda hila dhidi ya watumishi wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options