Skip to content
Zaburi 105:20-22

Zaburi 105:20-22

20
Mfalme alituma watu wakamfungua, mtawala wa watu alimwachia huru.
21
Alimfanya mkuu wa nyumba yake, mtawala juu ya vyote alivyokuwa navyo,
22
kuwaelekeza wakuu wa mfalme apendavyo na kuwafundisha wazee wake hekima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options