Skip to content
Zaburi 105:17-20

Zaburi 105:17-20

17
naye akatuma mtu mbele yao, Yosefu, aliyeuzwa kama mtumwa.
18
Walichubua miguu yake kwa minyororo, shingo yake ilifungwa kwa chuma,
19
hadi yale aliyotangulia kusema yalipotimia, hadi neno la Bwana lilipomthibitisha.
20
Mfalme alituma watu wakamfungua, mtawala wa watu alimwachia huru.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options