Zaburi 105:16-19
16
Akaiita njaa juu ya nchi na kuharibu chakula chao chote,
17
naye akatuma mtu mbele yao, Yosefu, aliyeuzwa kama mtumwa.
18
Walichubua miguu yake kwa minyororo, shingo yake ilifungwa kwa chuma,
19
hadi yale aliyotangulia kusema yalipotimia, hadi neno la Bwana lilipomthibitisha.