Skip to content
Zaburi 105:13-15

Zaburi 105:13-15

13
walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.
14
Hakuruhusu mtu yeyote awaonee; kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:
15
“Msiwaguse niliowatia mafuta; msiwadhuru manabii wangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options