Skip to content
Zaburi 105:12-15

Zaburi 105:12-15

12
Walipokuwa wachache kwa idadi, wachache sana na wageni ndani yake,
13
walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.
14
Hakuruhusu mtu yeyote awaonee; kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:
15
“Msiwaguse niliowatia mafuta; msiwadhuru manabii wangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options