12
Walipokuwa wachache kwa idadi, wachache sana na wageni ndani yake,
13
walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.
14
Hakuruhusu mtu yeyote awaonee; kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:
15
“Msiwaguse niliowatia mafuta; msiwadhuru manabii wangu.”