Skip to content
Zaburi 105:1-3

Zaburi 105:1-3

1
Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake, wajulisheni mataifa yale aliyoyatenda.
2
Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa, waambieni matendo yake yote ya ajabu.
3
Lishangilieni jina lake takatifu, mioyo ya wale wamtafutao Bwana na ifurahi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options