Skip to content
Zaburi 105:1

Zaburi 105:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake, wajulisheni mataifa yale aliyoyatenda.
2
Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa, waambieni matendo yake yote ya ajabu.
3
Lishangilieni jina lake takatifu, mioyo ya wale wamtafutao Bwana na ifurahi.
4
Mtafuteni Bwana na nguvu zake, utafuteni uso wake siku zote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options