Zaburi 104:31-34
31
Utukufu wa Bwana na udumu milele, Bwana na azifurahie kazi zake:
32
yeye aitazamaye dunia, nayo ikatetemeka, aigusaye milima, nayo ikatoa moshi.
33
Nitamwimbia Bwana maisha yangu yote; nitaimba sifa kwa Mungu wangu muda wote ninaoishi.
34
Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye, ninapofurahi katika Bwana.
Settings