Skip to content
Zaburi 103:8-11

Zaburi 103:8-11

8
Bwana ni mwingi wa huruma na mwenye neema; si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.
9
Yeye hatalaumu siku zote, wala haweki hasira yake milele,
10
yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.
11
Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana, ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha;
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options