Skip to content
Zaburi 103:8-10

Zaburi 103:8-10

8
Bwana ni mwingi wa huruma na mwenye neema; si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.
9
Yeye hatalaumu siku zote, wala haweki hasira yake milele,
10
yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options