Zaburi 103:8-10
8
Bwana ni mwingi wa huruma na mwenye neema; si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.
9
Yeye hatalaumu siku zote, wala haweki hasira yake milele,
10
yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.