Skip to content
Zaburi 103:3-5

Zaburi 103:3-5

3
akusamehe dhambi zako zote, akuponya magonjwa yako yote,
4
aukomboa uhai wako na kaburi, akuvika taji ya upendo na huruma,
5
atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema, ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options