Zaburi 103:2-5
2
Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana, wala usisahau wema wake wote,
3
akusamehe dhambi zako zote, akuponya magonjwa yako yote,
4
aukomboa uhai wako na kaburi, akuvika taji ya upendo na huruma,
5
atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema, ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.