Skip to content
Zaburi 103:10-14

Zaburi 103:10-14

10
yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.
11
Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana, ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha;
12
kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.
13
Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake, ndivyo Bwana anavyowahurumia wale wanaomcha;
14
kwa kuwa anajua tulivyoumbwa, anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options