Skip to content
Zaburi 103:1-2

Zaburi 103:1-2

1
Zaburi ya Daudi. Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana. Vyote vilivyomo ndani yangu vilihimidi jina lake takatifu.
2
Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana, wala usisahau wema wake wote,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options