Skip to content
Zaburi 102:12-13

Zaburi 102:12-13

12
Lakini wewe, Ee Bwana, umeketi katika kiti chako cha enzi milele, sifa zako za ukuu zaendelea vizazi vyote.
13
Utainuka na kuihurumia Sayuni, kwa maana ni wakati wa kumwonyesha wema; wakati uliokubalika umewadia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options