Skip to content
Zaburi 102:11-12

Zaburi 102:11-12

11
Siku zangu ni kama kivuli cha jioni, ninanyauka kama jani.
12
Lakini wewe, Ee Bwana, umeketi katika kiti chako cha enzi milele, sifa zako za ukuu zaendelea vizazi vyote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options