Skip to content
Zaburi 101:2-4

Uadilifu Katika Nyumba ya Mfalme

Zaburi 101:2-4
2
Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama: utakuja kwangu lini? Nitatembea nyumbani mwangu kwa moyo usio na lawama.
3
Sitaweka mbele ya macho yangu kitu kiovu. Ninayachukia matendo ya watu wasio na imani; hawatashikamana nami.
4
Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami; nitajitenga na kila ubaya.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options