Skip to content
Zaburi 10:2-4

Zaburi 10:2-4

2
Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini, waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.
3
Hujivunia tamaa za moyo wake; humbariki mlafi na kumtukana Bwana.
4
Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu, katika mawazo yake yote hakuna nafasi ya Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options