Skip to content
Zaburi 10:1

Zaburi 10:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Kwa nini, Ee Bwana, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?
2
Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini, waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.
3
Hujivunia tamaa za moyo wake; humbariki mlafi na kumtukana Bwana.
4
Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu, katika mawazo yake yote hakuna nafasi ya Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options