Skip to content
Zaburi 1:1-2

Zaburi 1:1-2

1
Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
2
Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options