Skip to content
Mithali 9:4-6

Mithali 9:4-6

4
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
5
Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
6
Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options