Skip to content
Mithali 9:15-17

Mithali 9:15-17

15
akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
16
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
17
“Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options