Skip to content
Mithali 8:18-21

Mithali 8:18-21

18
Utajiri na heshima viko kwangu, utajiri udumuo na mafanikio.
19
Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi; kile nitoacho hupita fedha iliyo bora.
20
Natembea katika njia ya unyofu katika mapito ya haki,
21
nawapa utajiri wale wanipendao na kuzijaza hazina zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options