Skip to content
Mithali 7:21-23

Mithali 7:21-23

21
Kwa maneno laini yule mwanamke akampotosha; alimshawishi kwa maneno yake laini.
22
Mara huyo kijana alimfuata yule mwanamke kama fahali aendaye machinjoni, kama kulungu aingiaye kwenye kitanzi,
23
mpaka mshale umchome ini lake, kama ndege anayenaswa kwenye mtego, bila kujua itamgharimu maisha yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options