Skip to content
Mithali 6:30-31

Mithali 6:30-31

30
Watu hawamdharau mwizi kama akiiba kukidhi njaa yake wakati ana njaa.
31
Pamoja na hayo, kama akikamatwa, lazima alipe mara saba, ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options