Ir al contenido
Mithali 6:23-24

Mithali 6:23-24

23
Kwa maana amri hizi ni taa, mafundisho haya ni mwanga na maonyo ya maadili ni njia ya uzima,
24
yakikulinda na mwanamke aliyepotoka, kutokana na maneno laini ya mwanamke aliyepotoka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options