Skip to content
Mithali 6:16-17

Mithali 6:16-17

16
Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana, naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:
17
macho ya kiburi, ulimi udanganyao, mikono imwagayo damu isiyo na hatia,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options