Mithali 5:11-14
11
Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa uchungu, wakati nyama na mwili wako vimechakaa.
12
Utasema, “Tazama jinsi gani nilivyochukia adhabu! Tazama jinsi moyo wangu ulivyodharau maonyo!
13
Sikuwatii walimu wangu wala kuwasikiliza wakufunzi wangu.
14
Nimefika ukingoni mwa maangamizi kabisa katikati ya kusanyiko lote.”
Settings