Mithali 4:20-22
20
Mwanangu, yasikilize kwa makini yale ninayokuambia; sikiliza kwa makini maneno yangu.
21
Usiruhusu yaondoke machoni pako, yahifadhi ndani ya moyo wako;
22
kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata na afya kwa mwili wote wa mwanadamu.