Skip to content
Mithali 4:16-17

Mithali 4:16-17

16
Kwa kuwa hawawezi kulala mpaka watende uovu; wanashindwa hata kusinzia mpaka wamwangushe mtu.
17
Wanakula mkate wa uovu, na kunywa mvinyo wa jeuri.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options