28
Watoto wake huamka na kumwita aliyebarikiwa, mumewe pia humsifu, akisema:
29
“Wanawake wengi hufanya vitu vyenye sifa nzuri, lakini wewe umewapita wote.”
30
Kujipamba ili kuvutia ni udanganyifu na uzuri unapita upesi, bali mwanamke anayemcha Bwana atasifiwa.