Skip to content
Mithali 31:28-30

Mithali 31:28-30

28
Watoto wake huamka na kumwita aliyebarikiwa, mumewe pia humsifu, akisema:
29
“Wanawake wengi hufanya vitu vyenye sifa nzuri, lakini wewe umewapita wote.”
30
Kujipamba ili kuvutia ni udanganyifu na uzuri unapita upesi, bali mwanamke anayemcha Bwana atasifiwa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options