Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Maneno ya Mhubiri, mwana wa Daudi, mfalme huko Yerusalemu:
2
“Ubatili mtupu! Ubatili mtupu!” Mhubiri anasema. “Ubatili mtupu! Kila kitu ni ubatili.”
3
Mwanadamu anafaidi nini kutokana na kazi yake yote anayotaabikia chini ya jua?
4
Vizazi huja na vizazi hupita, lakini dunia inadumu milele.