Mithali 31:13-15
13
Huchagua sufu na kitani naye hufanya kazi kwa mikono yenye bidii.
14
Yeye ni kama meli za biashara akileta chakula chake kutoka mbali.
15
Yeye huamka kungali bado giza huwapa jamaa yake chakula na mafungu kwa watumishi wake wa kike.