Skip to content
Mithali 28:15-16

Mithali 28:15-16

15
Kama simba angurumaye au dubu ashambuliaye, ndivyo alivyo mtu mwovu atawalaye wanyonge.
16
Mtawala dhalimu hana akili, bali yeye achukiaye mapato ya udhalimu atafurahia maisha marefu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options