Mithali 27:24-27
24
Kwa kuwa utajiri haudumu milele, nayo taji haidumu vizazi vyote.
25
Wakati majani makavu yameondolewa na mapya yamechipua, nayo majani toka milimani yamekusanywa,
26
wana-kondoo watakupatia mavazi na mbuzi thamani ya shamba.
27
Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi kukulisha wewe na jamaa yako, na kuwalisha watumishi wako wa kike.
Settings