Skip to content
Mithali 26:24-25

Mithali 26:24-25

24
Mtu mwenye nia ya kudhuru wengine hujificha kwa maneno ya midomo yake, lakini moyoni mwake huficha udanganyifu.
25
Ingawa maneno yake huvutia, usimwamini, kwa maana machukizo saba hujaza moyo wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options