Skip to content
Mithali 25:6-7

Mithali 25:6-7

6
Usijikweze mwenyewe mbele ya mfalme, wala usidai nafasi miongoni mwa watu wakuu;
7
ni afadhali yeye akuambie, “Njoo huku juu,” kuliko yeye kukuaibisha mbele ya mkuu. Kile ulichokiona kwa macho yako
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options