Skip to content
Mithali 24:7-9

Mithali 24:7-9

7
Hekima i juu mno kwa mpumbavu, katika kusanyiko langoni hana lolote la kusema.
8
Yeye apangaye mabaya atajulikana kama mtu wa hila.
9
Mipango ya upumbavu ni dhambi, watu huchukizwa na mwenye dhihaka.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options