Mithali 23:32-35
32
Mwishowe huuma kama nyoka na kutia sumu yake kama nyoka mwenye sumu.
33
Macho yako yataona mambo mageni na moyo wako kuwazia mambo yaliyopotoka.
34
Utakuwa kama alalaye katikati ya bahari, alalaye juu ya kamba ya merikebu.
35
Utasema, “Wamenipiga lakini sikuumia! Wamenichapa, lakini sisikii! Nitaamka lini ili nikanywe tena?”
Settings