Mithali 22:7-10
7
Matajiri huwatawala maskini naye akopaye ni mtumwa wa akopeshaye.
8
Yeye aupandaye uovu huvuna taabu, nayo fimbo ya ghadhabu yake itaangamizwa.
9
Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini.
10
Mfukuze mwenye dhihaka, na mvutano utatoweka; ugomvi na matukano vitakoma.
Settings