Skip to content
Mithali 22:7-10

Mithali 22:7-10

7
Matajiri huwatawala maskini naye akopaye ni mtumwa wa akopeshaye.
8
Yeye aupandaye uovu huvuna taabu, nayo fimbo ya ghadhabu yake itaangamizwa.
9
Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini.
10
Mfukuze mwenye dhihaka, na mvutano utatoweka; ugomvi na matukano vitakoma.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options