Skip to content
Mithali 21:7-8

Mithali 21:7-8

7
Jeuri ya waovu itawaburuta mbali, kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.
8
Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu, bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options