Skip to content
Mithali 2:6-9

Mithali 2:6-9

6
Kwa maana Bwana hutoa hekima, na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.
7
Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu, yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,
8
kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.
9
Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki na sawa: yaani kila njia nzuri.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options