Mithali 2:6-8
6
Kwa maana Bwana hutoa hekima, na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.
7
Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu, yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,
8
kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.