Skip to content
Mithali 2:4-6

Mithali 2:4-6

4
na kama utaitafuta kama fedha na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,
5
ndipo utakapoelewa kumcha Bwana na kupata maarifa ya Mungu.
6
Kwa maana Bwana hutoa hekima, na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options