Skip to content
Mithali 2:21-22

Mithali 2:21-22

21
Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, nao wasio na lawama watabakia ndani yake.
22
Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi, nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options