Skip to content
Mithali 2:13-15

Mithali 2:13-15

13
wale waachao mapito yaliyonyooka wakatembea katika njia za giza,
14
wale wapendao kutenda mabaya na kufurahia upotovu wa ubaya,
15
ambao mapito yao yamepotoka na ambao ni wapotovu katika njia zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options